Picha hiyo ilitupiwa katika mitandao ya kijamii mwishoni mwa wiki iliyopita huku a na maneno kuwa wawili hao åç wapendanao hali iliyosababisha wadau wengi kupongeza kuwa ni kapo nzuri.
“Mh! Kapo nzuri jamani, atulie sasa hapa Masogange,” mmoja wa wachangiaji alipongeza. Alipotafutwa Masogange kwa njia ya simu, hakupokea! Jitihada zinaendelea kuondoa utata huo.
Sign up here with your email
