SHILOLE AWAFUNGUKIA WALEWANAOKOSOA UHUSIANO WAKE NA MPENZI WAKE NUHU MZUWANDA



STAA wa muziki wa mduara Zuwena Mohamed’ Shilole’ amewafungukia wale watu 

wanaokosoa uhusiano wake na mpenzi wake  wa sasa Nuhu Mzuwanda wakisema kuwa msanii huyo anamfanya mpenzi wake Marioo. Aidha Shilole amekana na kusikitishwa na  habari hizo za kumfanya Nuhu Mzuwanda kama marioo na hamtegemei yeye kwa kila kitu na kwamba uhusiano kwa sasa una muda wa miezi sita .
Previous
Next Post »

Blogger templates