UCHAFU UNAOENDELEA MAENEO YA STAREHE HUKO KENYA WAPIGWA MARUFUKU

http://theclicktz.com/
Serikali ya kenya ya pinga tabia chafu zinazoendelea maeneo ya sarehe nyakati za usiku kwani ni kinyume cha maadili. Pia wananchi wameungana na serikali yako kupambana na machangudoa kwani ndio chanzo pia cha tabia nyingine chafu nyakati hizo za usiku
Previous
Next Post »

Blogger templates