Wanaume kama naongea uongo njooni mpinge hapa

Nilikuwa najiuliza kwa nini wanaume wanchepuka nikagundua wanawake tumejishau kidogo.
Katika kufanya kautafiti kidogo nimejikuta nimekuja na hili hapa.
Hitaji la mwanaume la kwanza ni KUFANYA NGONO, (KUFANYA MAPENZI)...
Kwa hiyo wanawake wenzangu tuache kujidanganya kuwa sijui umbo.
Chakula sijui out looo...
Mwanume yupo tayari kusexi eneo lolote na wakati wowote na mda wowote............ kam unapinga naomba utoe hoja ukiwa na mifano stahiki....
Stop cheating ourselves let just give him his need.

Have a lovely weekend

>>>Kwa habari zaidi bofya linki hii
Previous
Next Post »

Blogger templates