LUNDENGA AOMBA VITHIBITISHO VYA MISS TANZANIA 2014


Mkurugenzi wa Kampuni ya Lino International Agency ambao ni waratibu wakuu wa Mashindano ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga (katikati) akionyesha cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014 kwa wanahabari (hawapo pichani). Kushoto ni Miss Tanzania, Sitti Mtemvu.
video hapa
Cheti cha kuzaliwa cha Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu.
Hashim Lundenga akiongea jambo kwa wanahabari.
Hashim Lundenga akionyesha baadhi ya hati mbalimbali za washiriki wa Miss Tanzania mwaka huu.
Afisa masoko wa Sahara, Joan John akimpatia King'amuzi cha kampuni hiyo kama zawadi kwa mshindi wa Miss Tanzania wa kwanza hadi wa tatu.
(PICHA NA MUSA MATEJA, GABRIEL NG'OSHA/GPL)

Previous
Next Post »

Blogger templates