Mwanaume mmoja amemtuhumu mke wake kwa kufanya mapenzi na mwanzilishi wa kanisa la End Time Message Robert Marting Gumbura na waumini wengine saba wa kanisa hilo.
Romeo Ezra jana alimwambia hakimu Tafadzwa Muvhami kuwa mkewe, Octavia, aliambiwa na waumini wenzake akiri kuwa ana mahusiano ya Gumbura. Ezra pia aliiambia mahakama kuwa mkewe amekuwa
Sign up here with your email