NAPENDA WAPENZI WA MTANDAONI ,ILA TUKISHA ''DO'' SIWAPENDI TENA...


Mimi ni Msichana wa Miaka 23 , muda mwingi nipo online kwenye Facebook ...sasa huko nimekuwa nikikutana na wavulana wazuri na huwa tunachat mambo ya mapenzi kama wapenzi .Mapenzi huwa matamu sana pale tunapochat na kufanya mapenzi online ila tukisha onana tu simpendi tena na ninatafuta mwingine online...Je nina tatizo ? nifanyaje niache?
Previous
Next Post »

Blogger templates