Rose Ndauka kuwa mtangazaji wa kipindi hiki kipya

Malkia wa filamu, Rose Ndauka atakuwa mtangazaji wa kipindi kipya cha runinga kiitwacho ‘SK TV Show’.
rose
Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, atakuwa akitangaza kipindi hicho cha runinga akiwa na Fahad Fuad.
SK TV Show ni kipindi ambacho kitakuwa kinatoa habari mbalimbali pamoja na matukio yanayotokea katika jamii.
Hata hivyo mwigizaji huyo hakuweka wazi kipindi hicho kitaanza kuonekana katika runinga gani.
Previous
Next Post »

Blogger templates