Hata hivyo, hakusema anataka kukosanishwa na nani.
Lengo la kuanzishwa kwa Saccos hiyo ni kuwasaidia waendesha bodaboda kujiongezea kipato na kujinunulia pikipiki zao na kuachana na kuendesha pikipiki za matajiri.
![]() |
Edward Lowassa akiongea na waendesha bodaboda (hawapo pichani) |
“Lengo langu mimi ni kutaka kuwaona mmejiajiri kwa kuendesha pikipiki zenu wenyewe si za matajiri hivyo ni vizuri kuanzisha Saccos ambazo zitawasaidia kujikwamua na kuendesha pikipiki za matajiri,” alisema kiongozi huyo ambao walizidi kushangilia kwa nguvu ‘rais… rais..rais.’
“Jamani hizo kelele za rais, rais, mtanigombanisha yaani mnanichonganisha na watu,” alisema Lowassa.
Baada ya uzinduzi wa Saccos yao, Lowassa aliondoka viwanjani hapo huku gari lake lilisukumwa na waendesha bodaboda hao ambao waliendelea kuimba ‘rais… rais’ na kuwapa kazi kubwa polisi ya kuwatawanya
Read more: http://mambomseto88.blogspot.com/2013/12/bodaboda-wamkera-lowasa-mara-baada-ya.html#ixzz2nkSqMscA
Sign up here with your email