Usikasirike eti kwasababu mumeo akipiga 1 ndo basi hasimamishi tena, wakati mwingine wewe ndo unaepaswa kuisimamisha mpe mautundu, gusa sehemu muhimu itasimama yenyewe..kumbukaMWANAUME NI MOTO WA MABUA
nadhani mnayajua mabua yanashika moto haraka sana ukiwasha sasa mwanaume yeyote rijali ukimshika mahala pake lazima utaona taratibu kitu kinakuwa kigumu na lazima ujue sehemu ambazo zinaleta msisimko kwa mwanaume wako japo huwa hazitofautiani sana. Sasa nitakushangaa sana kama unalalamika eti mume wangu au mpenzi wangu anatumia mda mrefu
kusimamisha, sasa atasimamisha vipi wakati humvutii?? mpe kuwa mjanja amka heheheeeeee umelipata hilo shostisto!! Najua wanawake huwa hatupendi kuambiwa ukweli wengi watachukia hapa, tofauti na wanaume wengi wanapenda kujifunza, sasa uchukie usichukie mi ndo nisharopoka kuwa mtundu, utaibiwa bure!
Sign up here with your email