Madai
yao kwa sasa ni miezi 4 hawajalipwa ndipo wakaamua kuandamana
maandamano ambayo hayakuwa rasmi hivyo jeshi la polisi mkoa wa mtwara
likaingilia kati na kuzima maandamano hayo yaliyoanza mchana majira ya
saa 8 mpaka saa 1o.
Sign up here with your email